Habari Rfi-ki

  • Autor: Vários
  • Narrador: Vários
  • Editor: Podcast
  • Duración: 3:57:02
  • Mas informaciones

Informações:

Sinopsis

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Episodios

  • Mapigano kati ya FARDC na waasi wa M23 yanaendelea licha ya makubaliano ya amani

    27/08/2025 Duración: 09min
  • Je timu za nchi wenyeji wa CHAN zimefanyaje kwenye mchuoano wa CHAN 2024?

    26/08/2025 Duración: 10min

    Timu za Kenya Uganda na Tanzania zimeaga mchuano katika hatua ya robo fainali

  • Michuano ya CHAN inaendelea je umeridhishwa kufikia sasa

    23/08/2025 Duración: 10min

    Michuano ya CHAN inaendelea kuchezwa je umeridhishwa na michezo hiyo hadi kufikia sasa Skiza maoni ya mskilizaji.

  • Tanzania : Yabuni sheria kuwafungia nje wafanyakazi wageni

    22/08/2025 Duración: 09min

    Nchini Tanzania, nchi hiyo imebuni sheria kuwafungia nje wafanyakazi kutoka mataifa ya nje. Waskilizaji wetu walikuwa na haya ya kusema Skiza makala

  • Asasi za kiraia zamtaka rais William Ruto kuwataja hadharani wanaopokea rushwa

    22/08/2025 Duración: 09min

    Rais  wa Kenya William Ruto, yupo kwenye shinikizo  kubwa za kuwataja  hadharani wabunge na Maseneta, aliodai wanapokea rushwa kutoka kwa Mawaziri na Magavana, asasi za kiraia zinasema hiyo ndio njia pekee ya kuwaaminisha wananchi kuwa, kiongozi huyo ana nia ya kupambana na ufisadi nchini humo.

  • Mzozo wa Ukraine: Rais Trump kujaribu kuwakutanisha rais Zelensky na rais Putin

    22/08/2025 Duración: 09min

    Baada ya mkutano kati ya rais Donald Trump na rais Volodymyr zelensky na viongozi wa nchi za ulaya jijini Washington siku ya Jumatatu tarehe18 08 2025, Marekani sasa inajaribu kuwakutanisha rais Vladimir Putin na Zelensky ili kupata mwafaka wa mzozo wa Ukraine.

  • Rwanda: Wasichana kuanzia miaka 15 kupata huduma za uzazi wa mpango

    20/08/2025 Duración: 09min

    Mapema mwezi Agosti 2025 wabunge walipitisha sheria mpya itakayowaruhusu wasichana wa miaka 15 kupata huduma za uzazi wa mpango bila ruhusa ya wazazi, kwa lengo la kukabili mimba za utotoni. Awali sheria ya nchi hiyo ilikuwa inaruhusu wanawake wa miaka 18 pekee kupata huduma hizo.

  • Matarajio ya mkutano wa rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky jijini Washington DC nchini Marekani,

    20/08/2025 Duración: 09min

    Zelensky kuandamana na viongozi wa nchi za Ulaya kukutana na rais Donald Trump kujadili namna ya kumaliza uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.

  • Nchini Kenya CAF yadhibiti idadi ya mashabiki viwanjani kwenye michezo ya chan

    12/08/2025 Duración: 10min

    Mada ya leo ni  kuhuus  michuano ya CHAN inapoendelea kushika kasi kwenye nchi za Kenya, Uganda na Tanzania, nchini Kenya baadhi ya mashabiki wamekuwa wakitumia nguvu kuingia uwanjani bila ya tiketi, hatua ambayo shirikisho la soka la Afrika CAF, limelazimika kupunguza idadi ya mashabiki kuingia uwanjani kwa sababu za kiusalama.,,tumemuuliza  nini kifanyike kudhibiti usalama wa mashabiki na viwanja? na Kwenye nchi yako wakati wa mechi kubwa hali huwaje?

  • Leo ikiwa ni siku ya ijumaa tarehe 08 08 2025 huwa ni mada huru .

    08/08/2025 Duración: 10min

    Leo ni siku ya mada huru. Tunampa nafasi mskilizaji kuchangia suala lolote ambalo limejiri nchini mwake wiki hii,na pia anaweza kuzungumzia kile ambacho amekisikia katika matangazo yetu ya juma hili.

  • Hatua ya wanasiasa kuhama hama vyama baada ya kukosa kufaulu kwenye uteuzi

    07/08/2025 Duración: 10min

    mada ya leo ni kuhusu Nchini Tanzania ambapo baadhi ya wanasiasa wa CCM ambao hawakufaulu katika uteuzi wa chama, wameanza kuhamia vyama vingine ili kugombea viti mbalimbali kwenye uchaguzi wa oktoba mwaka huu.Hali hii  imekuwa ikishuhudiwa pia katika mataifa mbalimbali barani Afrika. Tunamuuliza msikilizaji anaizungumziaje hatua hii ya hama hama kisiasa,na hali hii inashuhudiwa nchini mwake,,

  • Majadiliano ya Geneva kuhusu hatua za kukabiliana na matumizi ya plastiki

    06/08/2025 Duración: 10min

    Wawakilishi kutoka kote duniani wanakutana, wako Geneva, kujadili hatua za mwisho za kukabiliana na matumizi ya bidhaa za plastiki ambazo zimeendelea kuharibu mazingira.Tumemuuliza msikilizani ni njia zipi mbadala zitumike badala ya bidhaa za plastiki na anafikiri ni kwa nini nchi hazitaki kuachana na matumizi ya mifuko ya Plastiki.

  • Kwa nini biashara ya binadaam inazidi kushamiri licha ya hatari nyingi

    30/07/2025 Duración: 09min
  • Viongozi wakutana Ethiopia kujadili usalama wa njaa baa la njaa likishamiri

    29/07/2025 Duración: 09min
  • Msururu wa mashambulizi ya AL shabab nchini Somalia yanavyohujumu usalama

    29/07/2025 Duración: 08min

    Al Shabab imezidisha mashambulizi yake na kuiteka miji zaidi wakati vikosi vya umoja wa Afrika vikitarajiwa kuondoka

  • Maoni yako kwenye makala habari rafiki, mada huru

    25/07/2025 Duración: 09min
  • Tishio la kuzuka mzozo mpya kati ya Eritrea na Ethiopia kuhusu eneo la bahari

    22/07/2025 Duración: 09min

    Rais wa Eritrea Isaias Afwerki ameionya Ethiopia dhidi ya kuzuka tena kwa mzozo kwa kulazimisha kutumia eneo lake ya Bahari.

  • Afrika yaendelea kuathirika kufuatia hatua ya Marekani kusitisha misaada

    21/07/2025 Duración: 10min

    Nchini Zimbabwe wataalam wanasema wagonjwa wa Malaria wanaongezeka kwa kasi tangu Marekani kupitia shirika lake la USAID kukatisha misaada yake kwa nchi hiyo na bara la Afrika

  • Kenya yaondoa ulazima wa viza kwa mataifa ya Afrika isipokuwa Somalia na Libya

    18/07/2025 Duración: 10min
  • Wito wa mazungumzo ya kitaifa kutatua mizozo ya kisiasa Afrika

    17/07/2025 Duración: 10min
página 1 de 2