Habari Rfi-ki

  • Autor: Vários
  • Narrador: Vários
  • Editor: Podcast
  • Duración: 3:57:52
  • Mas informaciones

Informações:

Sinopsis

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Episodios

  • Matukio ya wiki likiwemo kuelekea kusainiwa mkataba wa amani nchini DRC

    27/06/2025 Duración: 10min
  • Hatua ya bunge la Uingereza kuruhusu huduma ya kusaidiwa kufa

    26/06/2025 Duración: 09min

    Bunge la Uingereza hivi majuzi liliidhinisha mswada wa huduma ya kusaidiwa kufa

  • Maandamano ya kumbukizi ya kuwauwa kwa vijana zaidi ya 60 mwaka jana

    25/06/2025 Duración: 10min

    Waandamanaji wakabiliana na polisi siku nzima wakati ya maandamano ya kuwakumbuka watu waliopoteza maisha wakati wa maandamano ya mwaka jana ya Gen Z

  • Zambia :Rais Hakainde Hichilema asisitiza serikali kufanya mazizi ya Edgar Lungu

    24/06/2025 Duración: 10min

    Rais wa Zambia Hakainde Hichilema ameendelea kusisitiza kufanya mazishi ya kitaifa kwa mtagulizi wake Edgar Lungu Licha ya mzozo uliopo baina yake na familia juu ya utekelezwaji ya matakwa ya marehemu ya kukataa kufanyiwa mazishi ya kitaifa.Tunakuuliza maoni yako kuhusu mzozo huo.

página 2 de 2