Jua Haki Zako
Kenya/Nigeria : Wanawake wanahangaishwa kwa mitandao
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:01
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katika makala haya tunaangazia suala linalozidi kuwa pasua kichwa—unyanyasaji wa wanawake kwenye mitandao ya kijamii. Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na shirikisho la mawakili wanawake nchini Kenya FIDA, kwa ushirkiano na wenzao wa kutoka nchini Nigeria, unaonesha kuwa karibu kila mwanamke anayetumia mitandao amewahi kushambuliwa iwe ni kwa maneno ya matusi, vitisho, au kusambaziwa picha binafsi bila idhini yake. Skiza makala haya kufahamu mengi zaidi.