Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari 7 Aprili 2025
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:06:08
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ya shirikisho ina wasiwasi kuhusu athari za msukosuko wa kifedha, kufuatia ushuru wa marekani ulio tangazwa mwaka jana na jinsi hali hiyo ina wa athiri wa Australia.