Habari Rfi-ki
Kenya: Yawarejesha nyumbani raia wake waliotapeliwa kuenda Mynamar
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:34
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Shaba yetu kwenye makala haya inalenga hatua ya Serikali ya Kenya, kueeendelea kuwarejesha mamia ya raia wake waliotapeliwa na kusafirishwa hadi nchini Myanmar kwa ahadi ya kupewa ajira. Nchini mwako visa kama hivi vinaripotiwa?Ndilo swali letu, skiza makala haya kuskia baadhi ya maoni ya waskilizaji.