Jua Haki Zako

Haki ya mtoto kupata elimu ( Fizi)

Informações:

Sinopsis

Katika haya  tunaangazia haki ya watoto kupata elimu ambapo utaskia kwa wadau mbalimbali walioazisha kutuo cha elimu cha Fizi kinatoa elimu ya somo la kifaransa  nchini Kenya  kwa watoto wakimbizi kutoka nchini DRC , Rwanda na Burundi. Kituo hiki  kilianzishwa mwaka 2014 lengo likiwa kuwasaidia watoto wakimbikizi kutoka mataifa ya Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Demokrasia ya Congo ili kuendelea kujifunza na kuendeleza tamaduni ya lugha ya Kifaransa,hasa ikizingatiwa kwamba nchini Kenya raia wengi huzungumza kingereza  na Kiswahili.