Noa Bongo - Afya Na Masuala Ya Jamii

WHO yatangaza Ebola kuwa dharura ya kimataifa

Informações:

Sinopsis

Shirika la afya duniani WHO, limetangaza homa ya Ebola kuwa dharura ya kimataifa ya afya ya umma. Tangazo hilo limetolewa baada ya taarifa ya kisa cha mgonjwa wa Ebola mjini Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo