Siha Njema
Masaibu ya wakaazi wa kisiwa cha Ndeda nchini Kenya wanaokosa vyoo vya kutosha
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:09
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Mwongozo wa shirika la afya duniani,WHO kuhusu usafi,unapendekeza choo kimoja kinaweza kutumika na watu 20 ila katika kisiwa cha Ndeda ndani ya Ziwa Victoria ,watu zaidi ya elfu 2 wanachangia vyoo vitano