Siha Njema

Masaibu ya wakaazi wa kisiwa cha Ndeda nchini Kenya wanaokosa vyoo vya kutosha

Informações:

Sinopsis

Mwongozo wa  shirika la afya duniani,WHO kuhusu usafi,unapendekeza choo kimoja kinaweza kutumika na watu 20 ila katika kisiwa cha Ndeda ndani ya Ziwa Victoria ,watu zaidi ya elfu 2 wanachangia vyoo vitano