Nyumba Ya Sanaa
Miaka 30 ya safari ya msanii Mack el Sambo mjini Goma mashariki mwa DRC
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:20:10
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Hii leo ninaungana na mwenzangu Ruben Lukumbuka ambaye hivi karibuni alitembelea mji wa Goma ambako alikutana na wasanii kadhaa ambao wamo mbioni katika kuhamasisha Amani na mshikamano wa jamii kupitia Nyimbo zao, na leo kwa namna ya pekee tutaungana na msanii mkongwe wa miaka mingi katika mji huo ambaye amejiwekea sifa kubwa katika eneo la maziwa makuu MACK ELSAMBO Kataka ambaye kwa zaidi ya miaka 30 amekuwa akiimba AMANI