Jukwaa La Michezo

CHAN 2024: Tanzania na Burkina Faso kufungua mashindano ya Chan leo usiku

Informações:

Sinopsis

Tumekuandalia mengi leo ikiwemo kuanza kwa mashindano ya CHAN - uchambuzi, matukio na matokeo, michuano ya basketboli ya wanawake yaingia nusu fainali, Gor Mahia yapata benchi mpya la ufundi huku shirikisho la soka nchini Kenya likipata mdhamini mpya wa ligi, tetesi za uhamisho ulaya, matokeo ya hatua ya tatu ya Canada Open, Barcelona yaingia kwenye udhamini wa jewi na taifa la DRC