Gurudumu La Uchumi

Kutoka jembe hadi kutumia ndege nyuki (drone): Mapinduzi ya Kilimo Afrika Mashariki

Informações:

Sinopsis

Mwezi mmoja uliopita nilipata bahati ya kuzungumza na Octavian Lasway, mhandisi wa maji na umwagiliaji, lakini pia yeye kijana ambaye anatumia teknolojia kuwasaidia wakulima wa nchi za Afrika Mashariki, kufanya kilimo biashara, kupata masoko na kuongeza thamani ya mazao yao. Huu hapa muendelezo wa mahojiano yetu.