Habari Za Un
Ukosefu wa usalama wanyima chakula wahitaji Upper Nile nchini Sudan Kusini
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:46
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Nchini Sudan Kusini, familia zilizo kwenye hali duni katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ziko katika hali tete sana huku mapigano yakizidi kuongezeka na njaa ikikaribia kufikia viwango vya juu kabisa, limeonya leo Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP). Anold Kayanda na maelezo zaidi.