Gurudumu La Uchumi

Miundombinu; changamoto ya upatikanaji wa nishati (umeme) Afrika

Informações:

Sinopsis

Wiki hii katika makala ya Gurudumu la Uchumi, tunajadili changamoto za upatikanaji wa nishati ya uhakika barani Afrika, ambapo pamoja na baadhi ya mataifa kuwa na rasilimali za kutosha kuzalisha nishati ya ziada, suala la miundombinu limeendelea kusalia kikwazo, ambapo baadhi ya mataifa yanalazimika kununua nishati toka mataifa jirani.Ali Mkimo, mchambuzi na mtaalamu wa masuala ya Uchumi atakuwa nasi kudadavua hili kwa kina.