Habari Za Un
Waathirika wa kimbunga Chido: Asante UNHCR kwa kutotusahu lakini mahitaji ni makubwa
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:19
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR linaendelea kusambaza msaada wa kibinadamu ili kurejesha matumaini ya waathirika wa kimbunga Chido kilichotokea tarehe 15 Desemba mwaka jana nchini Msumbiji na kuziacha taabani jamii za majimbo ya Cabo Delgado, Nampula na Niassa. Flora Nducha na taarifa zaidi.